Jumatatu, 30 Juni 2014

CHARLES NDAGULLA, MWANAHABARI MKONGWE TANZANIA



Charles Ndagulla ni Mwandishi habari Mkongwe nchini Tanzania, ambaye ameshiriki katika mafunzo mbalimbali yakiwemo ya habari za uchunguzi . 
 Alizaliwa Machi 1, 1970 kijiji cha Ng’wankuba, wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.