Alhamisi, 4 Januari 2018

BREAKING NEWS: HATIMAYE MTUMISHI WA P P F APANDA KIZIMBANI KWA DAWA ZA KULEVYA,APELEKWA MAGEREZA



Na Charles Ndagulla,Moshi.

HAYAWI HAYAWI YAMEKUWA,baada ya kusota mahabusu kwa siku 17,hatimaye mtumishi wa mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa (PPF),Anitha Osward Ichwekeleza(32),anayetuhumiwa kujihusisha na usafrishaji wa dawa za kulevya,amefikishwa mahakamani mjini moshi.

Mtumishi huyo wa umma,alikamatwa desemba 19 mwaka jana akiwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya mirungi aliyokuwa akiisafrisha kwa kutumia gari lake dogo aina ya Toyota Sienta lenye namba za usjaili T674DLB.

Anitha alifikishwa katika makahama ya hakimu mkazi mjini Moshi chini ya ulinzi mkali wa askari wenye silaha za moto akitokea kituo cha polisi Majengo mjini hapa ambako kwa muda wote tangu akamatwe alikuwa akishikiliwa huko.

Baada ya kufikishwa hapo alishikiliwa kwa muda nje ya mahakama kabla ya kupandishwa kizimbani na kusomewa shitaka moja la uhujumu uchumi mbele ya Hakimu mkazi mwandamizi,Aidan Mwilapwa.

Alisomewa shitaka hilo na wakili wa serikali Agatha Pima na kutokana na shitaka hilo kuwa ni la uhujumu uchumi na mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kusikiliza mashauri ya aina hiyo hadi mahakama kuu,mshitakiwa huyo hakutakiwa kujibu chochote.

Mshitakiwa huyo ambaye kwenye hati ya mashitaka ametambulishwa kama mtumishi wa umma,ameshitakiwa kwa kosa moja la kusafrisha dawa za kulevya kinyume na kifungu cha 15(b) cha sheria namba 5 ya mwaka 2015  ya udhibiti wa usafrishaji wa dawa za kulevya kama ilivyofanyiwa marejeo madogo na sheria namba 23 ya mwaka 2016.

Kwa mujibu wa hati ya mashitaka,mshitakiwa huyo anadaiwa kuwa,mnamo desemba 19 mwaka jana huku Majengo kwa Mtei Manispaa ya Moshi,mshitakiwa alikutwa akisafrisha kilo 216.37 za dawa za kulevya.

  Baada ya kusomewa shitaka hilo,mshitakiwa huyo alipelekwa mahabusu katika Gereza Kuu la Mkoa,la Karanga ambako sasa ameenda kuanza maisha mapya ya gerezani,shauri hilo litakuja kwa ajili ya kutajwa tena mahakamani hapo Januari 19 mwaka huu.


HIVI NDIVYO ALIVYONASWA NA SHEHENA YA DAWA ZA KULEVYA

 Anitha alikamatwa na askari wa jeshi la polisi waliokuwa doria baada ya kupenyezewa taarifa na raia wema kuwa mtumishi huyo wa umma alikuwa amebeba ‘mzigo’ akitumia gari lake binafsi ambalo kulingana na sheria,kama atapatikana na hatia,gari hilo litataifishwa na serikali .

“Askari wakiwa doria walimkamata Anitha Oswald, ambaye ni mkazi wa Karanga, Manispaa ya Moshi, akiwa anasafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kilo 216 na gramu 370”, alisema kamanda Issa. 

Kamanda Issa alisema Anitha Oswald alikamatwa eneo la Majengo kwa Mtei Disemba 19, mwaka jana, akiwa anatokea Njia Panda ya Himo kuchukua mzigo huo. 

Aidha kamanda Issa alisema kwamba usafirishaji wa dawa za kulevya bado ni changamoto kubwa ambapo alielezea kusikitishwa na tabia ya baadhi ya watumishi wa Umma kujihusisha na usafirishaji huo.

“Jeshi la polisi mkoani hapa liko makini, operesheni inaendelea na hatutamvumilia mtu yeyote ambaye atabainika kujihusisha na biashara hii”, alisema.
Hata hivyo kamanda aliongeza kusema kwamba jeshi hilo la polisi mkoani kilimanjaro, bado linaendelea kumtafuta dereva wa gari hilo, ambaye alikimbia baada ya kulitelekeza gari alilokuwa akiliendesha baada ya kugonga mti katika jitihada za kuwakimbia polisi. 

 PICHA MBALI MBALI ZIKIMUONYESHA ANITHA OSWARD ALIVYONASWA NA DAWA ZA KULEVYA
 Mtuhumiwa wa dawa za kulevya,Anitha Osward(32)akiwa chini ya ulinzi wa polisi huku akiwa amesimama mbele ya gari lake aina ya Toyota Sienta lenye namba za usajili T674DLB huku shehena ya dawa za kulevya ikiwa ndani ya gari lake.
 Shehena ya dawa za kulevya iliyokamatwa na polisi mjini moshi ikisafrishwa na mtumishi wa mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma(PPF),Anitha Osward,tayari mtuhumiwa huyo amefikishwa mahakamani .
 Gari la mtuhumiwa wa dawa za kulevya Anitha Osward aina ya Toyota Sienta lenye namba za usajili T674 DLB likivutwa baada ya kugonga mti katika jitihada za mtuhumiwa huyo kuwakimbia polisi.
 gari aina ya Toyota Sienta lenye namba za usajili T674 DLB linalomilikiwa na mtumishi wa mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma(PPF)Anitha Osward likiwa limesheheni shehena ya dawa za kulevya.

Maoni 1 :

  1. SAFARI YAKO YA MAFANIKIO UTAJIRI NA RIZIKI ZAKO ZIMESIMAMA NA KUZINASUA UWEZE KUSONGA MBELE SOMA KWA UMAKINI UWEZE KUIJUA SIRI HII.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
    MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA PIA UMBALI POPOTE ULIPO KENYA,UGANDA, OMAN, CONGO RWANDA N.K
    WOTE NAWAKARIBISHA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    JibuFuta