Ijumaa, 26 Desemba 2014

HERI YA MWAKA MPYA



Ni jambo jema kuufikia mwaka mwingine, huku ukijua kwamba ulichokifanya mwaka uliopita kilikuwa na maana sana katika ulimwengu unaoishi.

Binadamu aliwekwa duniani kutimiza makusudi fulani hivyo ni jambo jema kumshukuru huyo aliyemweka binadamu ili atimize makusudi yake kwa mafanikio ya juu.

Wengine huingia mwaka mwingine wakiwa hawajui watafanya nini.

Blogu hii inakutakiwa mipango kazi iliyo simama ili mwishoni mwaka 2015 mahesabu yawe mazuri yasiyo na dosari na Mwenyezi Mungu akubariki na kukulinda.

AMEN

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni