Ijumaa, 24 Novemba 2017

BREAKING NEWS,ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA K'NJARO LEONIDAS GAMA AMEFARIKI DUNIA

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro(2011-2015) pichani na mbunge wa Jimbo la Songea mjini enzi za uhai wake

Pichani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro na mbunge wa Jimbo la Songea mjini,Leonidas Gama(enzi za uhai wake)Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa katika Hospital ya Pelamiho

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni