Jumanne, 21 Novemba 2017

BREAKING NEWS,JENGO LA CLOUDS FM LASHIKA MOTO MCHANA HUU



Jengo la kituo cha Radio na Luninga cha  Clouds Fm Jijini Dar es salaam limeshika moto mchana huu wa leo.
 
Taarifa kutoka eneo la tukio zinapasha kuwa,sehemu kubwa ya jengo la kituo hicho  cha Chouds Media Group linaungua moto huku  juhudi za kuuzima moto huo bado zinaendelea.

  Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana

Kutokana na mkasa huo,matangazo ya radio pamoja na Televisheni yamesitishwa kwa muda hadi hapo hali ya mambo itakapokuwa imetengemaa

Taarifa zaidi zinaendelea kuja........

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni