Rahim Sterling aliiokoa
Liverpool, alipotupia bao lililowapa sare ya 1-1 dhidi ya Chelsea katika
Capital One Cup huku wakisubiri mzunguko wa pili watakaotua Stamford Bridge kwa
ajili ya kuamua wa kwenda hatua ya mwisho ya michuano hiyo.
Eden Hazard alifumania nyavu
kwa mkwaju wa penati bao lililodumu hadi kipindi cha kwanza kinamalizika baada
ya Markovic kumuangusha nyota huyo wa Ubelgiji katika eneo la hatari.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni