Real Madrid imeambulia
kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa mahasimu wake Atletico Madrid katika mtanange
wa Kombe la Mfalme nchini humo jana.
Mchezo huo ulichezwa
katika uwanja wa Vicente Calderon, kushuhudiwa Fernando Torres akianza kama
Diego Simeone alivyosema katika mtanange huo na kupokewa kwa shangwe na mashabiki
wa Rojiblancos.
Mabao ya Rojiblancos yalitupiwa
kimiani na Raul Garcia kwa mkwaju wa penati na Jose Gimenez
na kuibua shangwe.
CHANZO: MARCA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni