Mechi
ya fainali Mapinduzi Cup 2015 kati ya Mtibwa Sugar na Simba
imemalizika kwa timu ya Simba kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penati 4-3.
Mechi
hiyo iliyochezwa kwenye uwanja wa Amaan, visiwani Zanzibar ambapo
mpaka dakika 90 ilikua sare tasa hivyo kuamuliwa kwa matuta na ushindi
kuwaendea wana msimbazi hao
MTIBWA:
1.Ally Lundenga (PG)
2.Shabaki Nditi (PG)
3.Rajab Jeba (Miss )
4.Ramadhani Kichuya (PG)
5.Vicent Barnabas (Miss)
SIMBA:
2.Shabaki Nditi (PG)
3.Rajab Jeba (Miss )
4.Ramadhani Kichuya (PG)
5.Vicent Barnabas (Miss)
SIMBA:
1.Awadhi Juma (PG)
2.Shabani Kisiga (Miss )
4.Ramadhani Kessy (PG)
5.Hassan Isihaka (PG)
2.Shabani Kisiga (Miss )
4.Ramadhani Kessy (PG)
5.Hassan Isihaka (PG)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni