Papa Francis amewataka waumini wa dini hiyo kujaliana baina
yao ili kuendelea na kampeni ya kupalilia amani duniani kote.
Akizungumza mjini Manilla, waumini zaidi ya milioni sita
walikusanyika mjini humo siku ya Jumapili kwa ajili ya ibada na mkuu huyo wa Kanisa
la Katoliki duniani.
Papa Francis kukiwa na rangi ya njano katika vazi lake
aliwataka waumini hao kuendelea kupendana ili kujenga amani katika jamii
"May
he enable all the beloved people of this country to work together, protecting
one another, beginning with your families and communities,"
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni